Wakimbizi wapewa siku 7
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba, ametoa siku saba kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kuhakikisha linaanza zoezi la kuwarejesha Burundi wakimbizi walio tayari kurejea nchini kwao.