"Lissu atishiwa Kifo" - Katambi

Baraza la Vijana Chadema limedai Serikali inahatarisha maisha ya Mwanasheria wa Chadema, Mh. Tundu Lissu  kwa kudai kuwa kiongozi huyo ni adui wa nchi na Mhujumu wa nchi imesababisha kupata tishio la uhai wa maisha yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS