Laporta ambakisha Hans Flick Barca hadi 2028 Kocha wa Barcelona Hans Flick na Rais Joan Laporta Kocha wa Barcelona Hans Flick amekamilisha mazungumzo yake na FC Barcelona ili kuongeza mkataba wake kwa msimu mwingine, na kumfanya kusadia klabuni hapo hadi Juni 2028. Read more about Laporta ambakisha Hans Flick Barca hadi 2028