Mtwara kupigishwa kwata

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amesema ataandaa mafunzo maalumu ya ukakamavu kwa ajili ya watendaji wote wa serikali mkoani humo wakiongozwa na yeye mwenyewe kwa ajili ya kuwaweka imara viongozi hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS