Magufuli kuingilia ugomvi wa Kanisa!?

Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Temeke limemuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli kuingilia kumaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 unaohusu umiliki wa kiwanja kilichopo Kitalu D Mtaa wa Everest jirani na Hospitali ya wilaya ya Temeke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS