Lema awaka kukamatwa kwa Bulaya
Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini Mh. God Bless Lema amelaani vikali kitendo cha Mbunge mwenzake Ester Bulaya wa Bunda kukamatwa na kuwekwa Rumande kwa amri ya Mkuu wa Wilaya kwa madai kuwa hakuna sheria Tanzania inayokubali vitendo hivyo.