John Heche asakwa na polisi

Mbunge wa Tarime Vijijini John Wegesa Heche.

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba Mbunge wa jimbo la Tarime Vijijini Mh. John Wegesa Heche, anatafutwa na jeshi la polisi mkoani humo, kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi mpaka sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS