"Wangekiri makosa wakajiuzulu" - Julius Mtatiro
Mwenyekiti Kamati ya muda ya uongozi wa CUF, Julius Mtatiro ameonyeshwa kushangazwa na kitendo cha serikali kuwatuhumu wapinzani kashfa ya kushikiliza mali za Tanzania, na kusema kuwa kama kungekuwa na utu yasingefika yalipo sasa.