Serikali yatoa miezi miwili
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari, Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi amewataka wamiliki wa magazeti na majarida mbalimbali kufanya hima kuenda kujisali upya kuanzia leo kwani wasipofanya hivyo watashindwa kuendelea kuchapisha