Huu ndiyo ushindani tuliyokuwa tunautaka- Manaseh

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron.

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron amefunguka na kudai upinzani uliyoonyeshwa na timu ya Mchenga BBall Stars na TMT katika game 2 fainali za Sprite BBall Kings ndivyo inastahili kuwepo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS