Serikali kumsaidia mke wa Mugabe Rais Mugabe akiwa na mkewe Grace Mugabe Serikali ya Zimbabwe imemuombea Mke wa Rais Mugabe, Grace Mugabe kinga ya kidplomasia dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini. Read more about Serikali kumsaidia mke wa Mugabe