Bajeti ya Mpango yaibua shangwe

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango

Serikali  ya Jamuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2017/18, huku ikiwa imetangaza kufuta na kupunguza tozo, ushuru na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye sekta mbalimbali hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS