Mayanga atangaza kikosi Taifa Stars

Kocha Mkuu wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars', Salum Mayanga ametangaza majina ya wachezaji 22 watakaounda kikosi kinachokwenda kushindana kuwania Kombe la Cosafa nchini Afrika Kusini inayotarajiwa kuanza Juni 25 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS