Zanzibar yapata uanachama kamili CAF Kikosi cha Zanzibar Heroes Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) leo limepitisha ombi la Zanzibar kuwa mwanachama wake mpya bila ya kupingwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa shirikisho hilo uliofanyika Addis Ababa nchini Ethiopia. Read more about Zanzibar yapata uanachama kamili CAF