Majani alivyokwama kumpata malkia wa hip hop

Wakali wa hip hop Bongo, Rosa Ree na Chemical

Producer mkongwe nchini P Funk Majani amesema ni mapema sana kwa kipindi hiki kumtangaza au kumtafuta malkia wa hip hop kama ilivyokuwa kwa upande wa wanamuziki wa kiume ambapo alimtangaza Fid Q kuwa mfalme wa muziki Bongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS