Lebo zinapoteza wasanii - Matonya

Matonya

Msanii Matonya aliyetamba na wimbo ‘Vailet’amekuwa na mtazamo wa tofauti na wasanii wengine ambao kila kukicha wanatamani kusajiliwa katika ‘lebo’ mbalimbali zinazofanya vizuri hapa bongo ili waweze kutangaza kazi zao kwa urahisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS