Bodaboda wanaoharibu mabinti washtukiwa
Mkuu wa Dawati la Jinsia Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar es Salaam, Inspekta Prisca Komba amewaonya madereva bodaboda kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mabinti wa shule na badala yake wawe mstari wa mbele kulinda na kuwasaidia kutimiza malengo yao