Licha ya ushindi, Conte awabwatukia mabeki wake

Manuel Lanzini akifunga bao la kufutia machozi kwa Westham dhidi ya Chelsea dakika ya 90.

Kocha wa Chelsea Antonio Conte, amesikitishwa na walinzi wake kuruhusu bao la dakika za majeruhi, licha ya kikosi chake kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya West Ham usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS