Polisi Mbeya yaua majambazi wawili Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Emmanuel Lukula Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameawa katika mapambano na jeshi la Polisi Mkoani Mbeya, wakati wakiwa katika harakati za kufanya uhalifu. Read more about Polisi Mbeya yaua majambazi wawili