Ni ngumu kuitoa Chelsea kileleni - Guardiola

Pep Guardiola (kushoto) na kocha wa Bournemouth baada ya mechi ya jana

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema pengo la pointi kati yao na Chelsea, ni kubwa sana licha ya kushinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Bournemouth katika Uwanja wa Vitality, na kukwea hadi nafasi ya pili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS