Ni ushindi wa Watanzania wote - Msuva

Saimon Msuva

Baada ya timu ya Yanga jana kuifunga bao 5-1 timu ya Ngaya SC ya Comoro katika michuano ya klabu bingwa Afrika, mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva amefunguka na kusema kuwa ushindi wao huo umeiwakilisha Tanzania na siyo Yanga pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS