Watanzania 515 wako gerezani kwa dawa za kulevya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Serikali imesema takwimu za jumla zinaonesha kuwa hadi sasa Watanzania 515 wamekamatwa na kufungwa gerezani kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika nchi mbalimbali duniani. Read more about Watanzania 515 wako gerezani kwa dawa za kulevya