Watanzania 515 wako gerezani kwa dawa za kulevya

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Serikali imesema takwimu za jumla zinaonesha kuwa hadi sasa Watanzania 515 wamekamatwa na kufungwa gerezani kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika nchi mbalimbali duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS