Yanga yawafuata Wacomoro bila Ngoma, Dante

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha wachezaji 20 cha Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara Yanga kinaondoka hapo kesho Jumamosi kuelekea nchini Comoro kwa ajili ya mchezo wake wa Kwanza wa Klabu bingwa Afrika dhidi ya mabingwa wa nchini hiyo Ngaya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS