Serikali yaitia nguvu Serengeti Boys bungeni

Baadhi ya wabunge, Rais wa TFF wakiwa kwenye picha ya pamoja na wachezaji wa Serengeti Boys, leo bungeni Dodoma

Serikali kwa kushirikiana na shirikisho la soka nchini (TFF) pamoja na wadau wengine imeihakikishia timu ya vijana ya chini ya Miaka 17 Serengeti Boys kambi ya mwezi mmoja ili kuweza kujiandaa na fainali za michuano ya mataifa ya Afrika (AFCON)

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS