Misri kujenga viwanda vya dawa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah El-Sisi ambaye amekubali nchi hiyo kuja kujenga viwanda vya dawa nchini.