Azam yasaka kulipa kisasi kwa Ndanda FC leo Ndanda walipokutana na Azam msimu uliopita Azam FC, inashuka dimbani leo kuvaana na Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika Uwanja wa Azam Complex leo Jumapili saa 1.00 usiku. Read more about Azam yasaka kulipa kisasi kwa Ndanda FC leo