Anaswa na mahindi ya bei chee kutoka nje ya nchi
Mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina moja la JAPHET amekamatwa na kikosi maalum kinachohusisha TRA , POLISI na MAAFISA WA KILIMO akiwa anavusha mahidi kwa njia ya panya kutoka nchini Malawi bila ya kufuata utaratibu wa sheria.