Ujio wa wakimbizi watajwa kuwa fursa kiuchumi

Wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu

Watanzania hususani wale wanaoishi maeneo ya mipakani wameanza kunufaikia na fursa za kiuchumi zinazotokana na ujio wa wakimbizi ambao kwa muda mrefu wameonekana kuwa hasara na mzigo kwa nchi wanazokimbilia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS