Kozi ya ukocha wa soka kwa wanawake yafunguliwa

Baadhi ya washiriki wa kozi ya ukocha pamoja na wakufunzi

Wakufunzi wawawake wa kozi mbalimbali za ukocha wa mpira wa miguu hapa nchini wametakiwa kutumia elimu wanayoipata kuhamasisha na kuelimisha ili kuweza kuwa na makocha wengi wanawake hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS