Biashara yanawiri DSE huku mtaji wa soko ukishuka Patrick Mususa Ukubwa wa mtaji wa soko katika Soko la Hisa la Dar es Salaam umeshuka kwa asilimia 8.5 kutoka mtaji wenye thamani ya shilingi za Tanzania trilioni 22.8 hadi shilingi trilioni 20.9. Read more about Biashara yanawiri DSE huku mtaji wa soko ukishuka