Oparesheni yanasa majambazi 14, watatu wauawa

Kamishna Simon Sirro, akionesha mbele ya waandishi wa habari, silaha zilizokamatwa

Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema limewakamata majambazi 14 na wengine 3 kufariki dunia katika mapambano baina ya jeshi la polisi na majambazi katika siku za hivi karibuni kwenye eneo la Vikindu mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS