Rais Magufuli awasihi Wazanzibari kukataa vurugu

Rais Magufuli akihutubia Wazanzibari katika viwanja vya Kibanda Maiti, kisiwani Unguja

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa Zanzibar kuwa atasimamia kwa nguvu zote masuala yote yanayohusu maendeleo, kudumisha Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar na kudumisha amani kwa faida ya wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS