Mbao FC yasema inaamini itabaki ligi kuu

Mbao FC

Licha ya kuanza vibaya kwa kupoteza mechi mbili katika ligi kuu Tanzania Bara ikiwa nyumbani, Klabu ya Mbao FC imesema ina imani kwamba itafanya vizuri mechi zijazo na kubaki katika ligi kuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS