Mbao FC yasema inaamini itabaki ligi kuu Mbao FC Licha ya kuanza vibaya kwa kupoteza mechi mbili katika ligi kuu Tanzania Bara ikiwa nyumbani, Klabu ya Mbao FC imesema ina imani kwamba itafanya vizuri mechi zijazo na kubaki katika ligi kuu. Read more about Mbao FC yasema inaamini itabaki ligi kuu