WHO yatoa tani 50 za dawa kwa ajili ya kutibu maji

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Mbogo Futakamba.

Shirika la Afya Dunia (WHO) limekabidhi tani 50 za dawa aina ya klorini, kwa ajili ya kutibu maji ili kuwezesha upatikanaji wa maji safi na salama hapa nchini kwa mamlaka ndogo 83 za maji katika halmashauri mbalimbali nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS