Msafara wa Makamu wa Rais wapata ajali Mtwara

Hali ilivyokuwa muda mfupi baada ya moja ya gari la msafara wa Makamu wa Rais kupinduka, Nanguruwe Mtwara.

Msafara wa Makamu wa Rais wa wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea wilayani Tandahimba ukitokea Ikulu ndogo ya Rais Mtwara umepata ajali na kusababisha majeruhi ambao wamekimbizwa hospitali ya rufaa Ligula.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS