Magufuli ahimiza amani, Burundi na Sudan Kusini

Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakiimba wimbo wa Jumuiya hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya hiyo Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezitaka nchi za Sudan Kusini na Burundi kudumisha amani kwa ajili ya maendeleo ya wananchi na jumuiya kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS