Wakimbizi zaidi wa Sudan Kusini waingia DRC

Wakimbizi wa ndani wakitafuta makazi Tomping, Sudan Kusini (UNMISS).

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO imearifu kuwepo kwa wakimbizi wa Sudan Kusini wapatao elfu 20 kwenye eneo lililokuwa awali, jimbo la Mashariki mwa nchi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS