TPSF kutoa tuzo kwa bidhaa 50 bora za Kitanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Dkt. Godfrey Simbeye (kushoto) akiwa na Meneja wa Kampeni hiyo Bw. Emmanuel Nko

Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango (TBS) na wazalishaji wa bidhaa mbalimbali, watazindua kampeni ya Fahari ya Tanzania yenye lengo la kuhamasisha utengenezaji na uzalishaji wa bidhaa bora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS