Magufuli atembelea makaburi ya Karume na Jumbe Rais Magufuli akiweka maua katika Kaburi la Hayati Abeid Karume Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Septemba, 2016 ameendelea na ziara yake Visiwani Zanzibar. Read more about Magufuli atembelea makaburi ya Karume na Jumbe