Magufuli atembelea makaburi ya Karume na Jumbe

Rais Magufuli akiweka maua katika Kaburi la Hayati Abeid Karume

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Septemba, 2016 ameendelea na ziara yake Visiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS