TANESCO watakiwa kuwafuata wateja nyumbani

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani, (wa kwanza kushoto), akiongozwa na Meneja Mwandamizi Miradi ya Umeme wa TANESCO, Gregory Chegere.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalimani, amelitaka shirika la Umeme nchini Tanzania(TANESCO), kuwafuata wateja baada ya wao kuwafuata ofisini ili nishati hiyo iwafikie watanzania wengi zaidi na kujikwamua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS