Kimbunga Gabrielle chaipiga New Zealand Takriban nyumba 46,000 zimekatikiwa umeme wakati kimbunga Gabrielle kikishambulia kaskazini mwa New Zealand. Mamlaka zimetoa tahadhari juu ya mvua kubwa na upepo, na mamia ya safari za ndege zimefutwa. Read more about Kimbunga Gabrielle chaipiga New Zealand