Mahakamani kwa kumbaka aliyemlipia mahari
Samson Masalu (18) amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kwa kosa la ubakaji, kwani amekuwa akimbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia kushindwa kuripoti shule ya sekondari Bujiku Sakila aliyopangiwa kujiunga kidato cha kwanza.