Kenya kufanya maombi maalum wapate mvua Rais wa Kenya William Ruto Rais wa Kenya William Ruto, ametangaza kwamba siku ya kesho ya Februari 14, 2023, itakuwa ni siku maalum ya maombi kitaifa ya kuombea mvua, yatakayofanyika kwenye uwanja wa Nyayo. Read more about Kenya kufanya maombi maalum wapate mvua