Kenya kufanya maombi maalum wapate mvua

Rais wa Kenya William Ruto

Rais wa Kenya William Ruto, ametangaza kwamba siku ya kesho ya Februari 14, 2023, itakuwa ni siku maalum ya maombi kitaifa ya kuombea mvua, yatakayofanyika kwenye uwanja wa Nyayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS