Walioiba mafuta ya SGR wahukumiwa
Mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imewahukumu kwenda jela miaka miwili au kulipa faini washtakiwa watatu kati ya sita waliohusika na wizi wa mafuta ya petroli yaliyokuwa yanatumika katika ujenzi wa reli ya kisasa SGR