Nikifa watazungumzia ubora wangu - Pep Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amemtetea mshambuliaji wake Erling Haaland kutokana na kutofunga kwenye mechi za karibuni akisema kuwa wengi wanasahau haraka ubora waliokuwa nao. Read more about Nikifa watazungumzia ubora wangu - Pep