"Wanaokichafua chama wasivumiliwe" - Mhe.Abdullah

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, amekitaka Chama cha Mapinduzi mkoa wa Tanga kutowavumilia watendaji wazembe wa serikali ambao watakuwa ndio chanzo kikuu cha kukichafua chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS