"Atakayeripoti mwanae kapotea awekwe ndani"- RC
Mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila, amemtaka Kamanda wa Polisi mkoani humo William Mwampaghale, kuwaweka ndani wazazi wote watakaofika katika kituo cha polisi, kutoa taarifa za kupotea kwa watoto ili wafanyiwe uchunguzi kwanza kubaini kama kweli mtoto amepotea au kuna sababu nyingine