Mzee Issa asifika kwa utatuzi wa migogoro Mtwara

Mahakama ya  mwanzo Msimbati, wilaya ya Mtwara imekosa wateja kutokana na kuwapo kwa Mzee  Issa Mkumba (60), ambaye pia ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Mtandi Majengo, ambaye anaaminiwa na jamii yake kutokana na uwezo wake mkubwa wa  kutatua migogoro licha ya kutokuwa na taaluma ya sheria

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS