Bilioni 63 kukarabati uwanja wa ndege Iringa

Gharama za ukarabatati wa uwanja wa ndege Iringa zimeongezeka kutoka bilioni 41 hadi kufikia bilioni 63 ambapo Naibu Waziri  wa Ujenzi  Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema licha ya  ongezeko hilo serikali itahakikisha uwanja huo unakamilika kwa muda uliopangwa ili kuwezesha ukuaji wa uchumi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS