MARA YAKANUSHA KUKAGUA WASICHANA WALIOKEKETWA.

Mkuu wa Wilaya ya Butiama Moses Kaegele.

Mkuu wa wilaya ya Butiama mkoani Mara  Moses Kaegele amekanusha kauli inayotajwa kutolewa na mkuu wa mkoa huo kwamba wanafunzi wa kike watakaguliwa ili kubaini kama wamefanyiwa vitendo vya ukeketaji, kwenye mkutano uliohusisha wadau wa huduma na maendeleo ya jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS